Tuesday, December 3, 2013
Tuesday, November 26, 2013
Monday, November 25, 2013
STORIA FUPI KUHUSU BLANDINA CHANGULA (JOHARI)
BLANDINA CHANGULA (JOHARI)
Jina la Kiraia Blandina Changula
Jina la Kisanii Johari
Nchi Tanzania
Alizaliwa 27 Julai 1983
Kazi yake Muigizaji
MAINDA AMWITA MWENZAKE JINI LA SHINYANGA
TEAM MAINDA VS TEAM JOHARI
Sunday, November 24, 2013
Monday, November 18, 2013
Sunday, November 17, 2013
Saturday, November 16, 2013
Monday, November 11, 2013
Tuesday, November 5, 2013
Saturday, October 19, 2013
Thursday, October 17, 2013
DAYNA-NAUMIA
Unaosemekana Uliibwa Na Diamond Na Kuuita Number One
Huu ndio wimbo wa Dayna ambao Diamond ameiba bit na melody na kuuita namba one. Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote. Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna.Wednesday, October 16, 2013
MAMBO HAYA YANATURUDISHA NYUMA SANA MKOA WETU WA SHINYANGA
JAMANI HAPA TUNAPIGA STEP ZA KWENDA NYUMA.
DROPPER,MANGU NA DANNY PES NAOMBA MZUNGUMZE MGOGORO HUISHE ILE TUFANYE KAZI JAMANI.
PLEASE GUYS HAYA MAMBO HAYA SAIDII KABISA
Temptation, Diamond Platnumz & HHP, Coke Studio Af
ANGALIA DIAMOND PLATNUM AKIIMBA NYIMBO YA TEMPTATION YA P QSUARE
SINGLE ZERO TRAILER TIMAMU EFFECTS ENT. LTD 2013
MOVIE KALI KALI SANA YA ACTION KUTOKA TANZANIA
SINGLE ZERO
MDUNDIKO MOVIE TRAILER TIMAMU EFFECTS - 2013
MOJA KATI YA MOVIE BORA TANZANIA PIA IMECHUKUWA TUZO HUKO AMERIKA.
MDUNDIKO
OCHU SHEGGY OFFICIAL HD VIDEO 2012 ( EMPTYSOULZ PRODUCTION )
ANGALIA MISS BEUTIFUL AISHAZ MUSSA AKIFANYA MAMBO YAKE!!
Jere One, Benkush, scar dee & mo music
SCAR DEE, JERE ONE,BENKUSH & MO MUSIC THEY MAKE HEADLINE AGAIN
SAM TIMBER AFUNGUA KAMPUNI YA VIDEO INAIITWA "TIMBER VIDEOZ"
Moja ya Produza kutoka pande za A Town Sam Timber, ambaye ashafanya kazi na wasanii wakubwa kama Ben Pol, Bu Nako, Fid Q, Lord Eyes na wengine kibao amesema kuwa amefungua kampuni yake ya kutengeneza Video. Moja ya ngoma ambayo ametengeneza ambayo inakubalika na wengi mpaka sasa ni 'Neno' ya Lord Eyes na Fid Q.
Produza huyo amesema kuwa kampuni yake ya Video inaitwa 'Timber Videoz', "wanaweza kunipata pale pale Fnouk Studio ni njia ya kuelekea Njiro Arusha baada ya kituo cha Bia kinaitwa 'Chini ya mti; kuna kibao cha Studio kinaelekeza Kampuni inaitwa Timber Videos", alisema
Tuesday, October 15, 2013
Monday, October 14, 2013
Scar dee ft Cello bizzo & BenkushOfficial video music)SOFTFACE.
Scar dee ft Cello bizzo & BenkushOfficial video music)SOFTFACE.
Sunday, October 13, 2013
Monday, June 10, 2013
HOT HIP HOP MC (SHINYANGA NYUMBANI)
HOT HIP HOP MC - SHOCK AND ROCK
Licha ya uchimbaji wa madini pia ni walimaji wa pamba ndio maana najigamba natokea SHINYANGA!!! SHINYANGA!!
Sunday, June 9, 2013
Cello Bizzo-Nipe Mic{Prod By Scar Dee In More Rhymes Adittion Records}
MR.SHYTOWN SWAGGERZ CELLO BIZZO
Tazama ngoma kali ya CELLO BIZZO burudika na MUZIKI mzuri kutoka SHYTOWNCello Tolkin About The Game
CELLO BIZZO
Hapa ili kuwa mwaka jana CELLO BIZZO akizungumzia MUZIKI kwa jumla
Saturday, June 8, 2013
MR. SHYTOWN SWAGGERZ CELLO BIZZO! HOT MC AND NEXT SUPER STAR!
MR. SHYTOWN SWAGGERZ
CELLO BIZZO!
Huyu Kijana Ni Moja Ya MC Na Rapper Wanaofanya Vizuri Sana ShyTown Kwa Sasa Ana Miondoko Mizuri Sana Ya Chana Natumaini Atakuwa Ni Moja Kati Ya Wasanii Wazuri Sana Siku Za Baadae!! BIG UP Kijana Usikate Tamaa Ongeza Bidii Na Pia Ukivumilia Mbona Mbele Kweupe Kabisa. HUYU NI UNSTOPABLE MC RAPPER MR. SHYTOWN SWAGGERZ(CELLO BIZZO)
.
MR. MORE RHYMES HIMSELF MA MAN SCAR DEEEEEEEE!!
M.R.A(MORE RHYMES ADDITION) REC.
SCAR DEE
Ni mmoja kati ya PRODUCERS wanaofanya vizuri ShyTown kwa sasa pia ni miliki wa STUDIO ya More Rhymes Addition Record. Nampa BIG UP sana kwa kufanya harakati za kusimamisha MZIKI wa Shytown. HUYU NI SCAR DEEEEEEEEEEEE
Friday, June 7, 2013
Rique Van-pierre Ndeki
RIQUE VAN-PIERRE NDEKI
HOT VIDEO PRODUCER NAMPA HESHIMA SANA HUYU KAKA YANGU 7BU KAZI ANAYOFANYA NI KUBWA NA NZITO PIA!! BIG UP MY BROTHER FROM ANOTHER MOTHER!!
Subscribe to:
Posts (Atom)